Kesho PM anaanza ziara ya Kiserikali mkoani Mara

Wakati wa ziara yake tutashuhudia haya!

Kwa siku jana na leo tunashuhudia barabara ya kutoka Bweri kwenda mjini ikizibwa viraka!
Swali: hakukuwa na hela mpaka PM aje ziarani ndo mabonde yazibwe?
Kama zilikuwepo kwa nini matengenezo hayakufanyika? mambo yanafanywa ki-voda fasta tu!
Akiwa Mkoani hapa atakagua miradi ya ‘maendeleo’ na kuweka ma-JIWE ya msingi ya miradi ya maendeleo!!!!
Kisha tutaona akipokea taarifa ya serikali na taarifa ya CHAMA toka kwa mkuu wa mkoa wa hapa!!
Pale uwanjani tutaona watakaompokea wakiwa kwenye sare ya NJANO na KIJANI wakati amekuja kwenye ziara ya kiserikali!!!
Halafu huyu ndo atatoa mchozi akisema uzalendo umetoweka!!
Pole!