Laiti kama sura tunazoziona kanisani na misikitini kila siku ya ibada (Ijumaa, Jumamosi na Jumapili) zingekuwa hivo na kuakisi ya siku ya ibada dunia ingekuwa sehemu bora ya kuishi kabisa!
Lakini...unyenyekevu wa kiibada pengine huishia hapo kwenye lango la nyumba ya ibada!
Na pengine ndo sababu tunaona yatokeayo ambayo huwa tunayatafsiri kama 'ZAMBI'.
0 comments:
Post a Comment