Saturday, October 29, 2011

Sijui kama tuna Wasimamiaji wa Maamuzi!



Tarehe 20 Oktoba nilisafiri na basi la Akamba tokea Arusha lenye nambari za usajili KBJ334J lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi.

Nilifurahi jinsi lilivyokuwa likipita chap chap mpakani.... Kufika katika viunga vya jiji la Nairobi vikaanza kushushwa viroba vya SUKARI kilo 25 toka kiwanda cha Kilombero.

Nikajiuliza...watu wa forodha na wengineo hawapo mpakani? Maagizo ya kutovusha sukari hawayasikii?


Akili kwako.....

0 comments:

Post a Comment