Tuanze safari yetu ya pamoja kutafakari hali na mustakabali wa maisha ya Kijijini Kwetu. Haina maana ya kule nitokako bali hata kwako pia. Yawezekana huna ukakika kama sitafika! Karibu sana
Friday, October 28, 2011
Kumbe kuna Al Shaabab hapa nchini?
Ati maandamano yasitishwa kwa sababu ya Al Shaabab!
Kama ndivo basi nadhani sherehe za kuzima mwenge wa uhuru zilizopangwa kufanywa tarehe 1 Desemba na pia sherehe za Uhuru 9 Desemba hazitakuwepo!!!
0 comments:
Post a Comment