Friday, October 28, 2011

Kumbe kuna Al Shaabab hapa nchini?

Ati maandamano yasitishwa kwa sababu ya Al Shaabab!


Kama ndivo basi nadhani sherehe za kuzima mwenge wa uhuru zilizopangwa kufanywa tarehe 1 Desemba na pia sherehe za Uhuru 9 Desemba hazitakuwepo!!!


Mmmmmh!

0 comments:

Post a Comment