Friday, October 28, 2011

Hatimaye Afanyiwa Upasuaji

Hatimaye Kaka Shaban Kaluse amefanyiwa upasuaji kufuatia ajali ya gari iliotokea juzi asubuhi. Upasuaji ulifanyika saa 6 usiku wa kuamkia leo.

Amelazwa wodini na anaendelea vema japo mkono ulivimba sana mara baada ya upasuaji.

twamuombea apone haraka.

2 comments:

  1. Kila la heri Kaka Kaluse, na tunakuombea upate nafuu na kupona haraka

    ReplyDelete
  2. Mungu yu pamoja nawe kaka yetu nnasi tupo pamoja nawe.

    ReplyDelete