Friday, September 23, 2011

Yaani mnazidiwa akili hata na Dereva?


Mwanafalsafa Albert alikuwa na dereva. Kisa cha yeye na dereva ni kama hivi!

"The story is that Albert Einstein's driver used to sit at the back of the hall during each of his lectures, and after a period of time, remarked to Einstein that he could probably give the lecture himself, having heard it several times.

So, at the next stop on the tour, Einstein and the driver switched places, with Einstein sitting at the back, in driver's uniform.

The driver gave the lecture, flawlessly. At the end, a member of the audience asked a detailed question about some of the subject matter, upon which the lecturer replied, 'well, the answer to that question is quite simple, I bet that my driver, sitting up at the back, there, could answer it..."

Boss wake alielezea vema kwa kuwa ndiye mwenye uelewa nalo. Wasikilizaji walisema: kama Dereva anaweza kujibu namna hiyo basi Professor ni zaidi.

Ktk nchi hii tumekuwa na akina Albert wetu wengi tu. Mwalimu Nyerere ni mmojawapo. Na yeye amekuwa na madereva/wanafunzi wake wengi tu...

Kinachoshangaza sasa ni kuwa hao madereva/wanafunzi wake wameshindwa hata kutoa mhadhara wa maana kuhusiana na nji yetu(kutatua matatizo yanayotukabili).

Ndio maana kila siku wanaimba tu...kwa nini hatujui kwa nini Tanzania ni masikini!!!

Yaani wanazidiwa kufikiri na dereva!!! Ama ndo style ya kufikiri kwa kutumia masaburi? Khaaa!





0 comments:

Post a Comment