Monday, September 26, 2011

Swali

Hivi sisi ni masikini wa nini vile?

5 comments:

  1. Kwa vile TUNATAFSIRIWA UMASKINI. Yaani tuna mali wanayokuja kuchukua kupata pesa, lakini mali hiyo yaonekana kama uMASKINI ilhali wakishaiuza na kupata pesa (kwa faida) wanajiita maTAJIRI.
    NADHANI SISI NI MASKINI KWA TAFSIRI YAO, TAJIRI KWA TAFSIRI YANGU.

    Nawaza kwa sauti tu!!!

    ReplyDelete