Tuanze safari yetu ya pamoja kutafakari hali na mustakabali wa maisha ya Kijijini Kwetu. Haina maana ya kule nitokako bali hata kwako pia. Yawezekana huna ukakika kama sitafika! Karibu sana
Wednesday, September 28, 2011
English Please!
Aaaah....labda kuna siku tutakuwa wakoloni ama waswahili kiuhakika!
Namkumbuka mwalimu wangu Kaihula ambaye alikuwa anajiita WALKING DICTIONARY. Yeye alikuwa mtaalamu wa kuchanganya lugha zote tatu (The great kiHAYA, kiSWAhili na kiingereza) na wakati mwingine neno moja linasemwa kwa lugha tatu zote. Ilikuwa jambo la kawaida kumsikia akisema "kwa hiyo therefore olweekyo". Duh!!! Na ilikuwa kama hujaelewa kwa kiingereza anakutafsiria kwa kiHAYA. Na kwa sie wana wa madarasa ya awali ilikuwa booomba kweli.
kaaazi kwelikweli...huko sekondari ni taabu tu na ndio wanafunzi wanatoka bila kitu
ReplyDelete:-)
ReplyDeleteHabari za siku.
ReplyDeleteKama mwanablogu kutoka Tanzania,nakuomba kushiriki kuchangia Mchakato wa KUFUFUA JUMUWATA(Jumuiya ya Wanablogu Tanzania).
Tafadhali naomba ufungue hii kurasa ya
http://blogutanzania.blogspot.com/
kisha upendekeze jinsi ya kufufua JUMUWATA.
Ahsante.
Luiham Ringo.
Namkumbuka mwalimu wangu Kaihula ambaye alikuwa anajiita WALKING DICTIONARY.
ReplyDeleteYeye alikuwa mtaalamu wa kuchanganya lugha zote tatu (The great kiHAYA, kiSWAhili na kiingereza) na wakati mwingine neno moja linasemwa kwa lugha tatu zote. Ilikuwa jambo la kawaida kumsikia akisema "kwa hiyo therefore olweekyo". Duh!!!
Na ilikuwa kama hujaelewa kwa kiingereza anakutafsiria kwa kiHAYA. Na kwa sie wana wa madarasa ya awali ilikuwa booomba kweli.
Anyway......ILINGISH PULIIIZ