
Leo asubuhi nimetembea mitaa ya Kisumu lakini inaonekana hakuna watu mitaani. Nauliza kunani..wananambia leo ni sherehe ya uthibitishwaji wa katiba mpya....! Mitaa ni kama inavoonekana na kama kawaida nimekutana na matangazo kama nilokutana nayo Nairobi!

Natafuta sasa dawa ya kisirani...lol! Hapo ni jirani kabisa na Kisumu Hotel inayomilikiwa na Maseno University na mbele ya Reinsurance Plaza yalipo makao makuu ya Lake Victoria
Basin Commission.
Basin Commission.







